Thursday 21 April 2016

Ustawi wa Jamii

ad300
Advertisement

USTAWI WA JAMII:
Wewe Mama  ama Baba ambae unateseka na mtoto wako ama binafsi kutokana na visa ama matatizo mbalimbali tanayofanywa na mwenza wako ambayo hunaona yapo kinyume kabisa na haki za binadamu fursa ni yako fika sasa katika Ofisi za Ustawi wa Jamii zilizopo mahala husika kisha eleza yanayo kusibu bila hofu wa hiyana.
Kama mwenza wako amekuwachia jukumu la kulea watoto wewe mwenyewe waweza kwenda pia hili naye ajumuike nawe katika malezi ya mtoto huyo ata kama mmetarafikiana anawajibu wa kutoa huduma za malezi kwa mtoto/watoto hao.
#USIKAE #KIMYA #PINGAUKATILI
#SISINAWATOTO #SnW #watoto #Tanzania #kill #kilimanjaro #moshi #malala #s #watotodarajaborakatikajamii

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: