Advertisement |
Happy World Teachers Day.
Leo ni madhimisho ya Siku ya Walimu Duniani.
Nchini Tanzania Walimu wana adhimisha siku hii, huku wakiwa na changamoto mbalimbali katika sekta hiyo hususani malimbikizo ya madeni, kupandishwa madaraja, vifaa vinavyo kidhi kufundishia sambamba na miundombinu mibovu na chakavu kwa maeneo yao ya kazi.
Hata hivyo Serikali ya Tanzania inafanya jitihada mbalimbali wa kuboresha Elimu kama upatikanaji wa madawati.
Juhudi za haraka na upesi zanahitajika zaidi katika Sekta ya Elimu ili kuwa na kizazi kilicho elimika na kuweza kujenga zaidi na zaidi Taifa hili.
#Ahsanteni #walimu #Tanzania
#share
0 comments: