Thursday 6 October 2016

Hongera!

ad300
Advertisement

Ndg Mohamed R. Gea Akipokea cheti kutoka Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri  ya Wilaya ya Moshi alichokabidhiwa na Mama Bertha Yairo Afsa Maendeleo, baada ya kuhitimisha uongozi wake katika Baraza hilo.

Mwaka 2009 hadi Mwaka 2012 alikuwa Mjumbe wa Baraza  hilo na Mwaka 2012 hadi mwaka huu September 26th, 2016 amekuwa  Mwenyekiti  wa Baraza  hilo la Watoto  Halmashauri  ya Wilaya  ya Moshi.

Kwa sasa ndg Mohamed  Gea ni Mshauri wa Baraza la Watoto Halmashauri  ya Wilaya  ya Moshi na ni Mshauri  Baraza la Watoto  Jamhuri  ya Muungano  wa Tanzania.

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: